Posts

Showing posts with the label tiba kwa wanaume

VYAKULA HIVI VITAKUSAIDIA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANYO NA KUKUA KWA TEZI DUME.

Image
VYAKULA HIVI VITAKUSAIDIA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME. Kichocheo cha testosterone au kwa Kiswahili , japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme, pia kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone upungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA, KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzi...

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO

Image
❤PUNYETO❤ huambatana na madhara makubwa ya kiafya na leo tutaangalia madhara kumi ya kujipa raha mwenyewe kwa kutumia muono wako au kwa jina Jingine "PULI" ❤1. punyeto humfanya mtu  awe mlegevu bila kuwa na nguvu kabisa mda wote kwani nguvu nyingi hutumika kwenye tendo hilo kuliko hata nguvu zinazotumika zinapokutana nyama kwa nyama. ❤2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ejaculation) anaweza akajikuta akigusa tu "nanii" ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika. ❤3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao ❤4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low sperm count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta motto. ❤5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi ❤6....
Image
Kwa maitaji wasiliana nami kupitia number hii +255 785 494 456
Image
KARIBUNI SANA KATIKA HUDUMA ZETU KWA WOTE WANAOTAKA KUONDOKANA NA MAGONJWA TABIA YAFUATAYO 1. KUSAHAU AU KUPOTEZA KUMBU KUMBU 2. KUISHIWA NGUVU ZA KIUME 3.KUSHINDWA KUPATA MTOTO 4. MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA KWA WANA WAKE 5. KISUKARI 6. PRESSURE 7. MAGONJWA SUGU YA NGOZI LIKE PAGE YANGU UFURAHIE HUDUMA HIZI

NGUVU ZA KIUME ZINAMALIZWA NA VYAKULA VYENYE SUKARI NYINGI

Image
Ndugu karibu sana katika makala zangu ambazo huzungumzia chanzo cha tatizo, namna ya kuepuka na kutibu kabisa hilo tatizo bila kukaa kuhangaikia kutibu dalili ya ugonjwa. Ni dhahili kuwa maisha yetu ya kifahari tumekuwa tunakula vyakula vyakutosha lakini vyakula hivi si vyakujenga mwili bali vinakuja na magonjwa mengi ndani yake. Siwezi kuilaumu jamii kwa kuendelea kula vyakula hivi bila kuwa na kiasi bali ni mfumo wa afya kwa ujumla ambayo inaweka juhudi kubwa kubaini magonjwa na kutibu dalili na siyo kuweka jitihada kubwa katika kutoa elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa na kushughurika na chanzo au mzizi wa ugonjwa. Hivyo ni jukumu letu kuhakikisha jamii inaepukana na magonjwa haya kwani tukifanya hivyo utamaduni huu wa kutuletea vyakula vinavyo dhoofisha miili yetu na hatimaye wanaleta misaada ya matibabu inayo lenga kubaini magonjwa na sio kutoa elimu ya kuzia na kupambana na vyanzo hasa vya tatizo. Baada ya kusema hivyo basi ningependa kwa siku ya leo nizungumzie kidogo ...

NAMNA TIKITIMAJI LINAVYOTIBU NGUVU ZA KIUME

Image
Mbali ya kuwa ni chanzo kikuu cha Vitamin A, B6, C, ‘Potassium’, ‘Magnesium’ na virutubisho vingine kibao, tunda hili pia lina virutubisho vingine vyenye uwezo wa kuamsha hisia za kimwili (Sex li bido) na kuondoa matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume (Erectile Dysfunction).KAMA VIAGRA Wanasayansi wanasema kuwa Tikitimaji lina virutubisho vinavyoweza kuleta mhemuko wa kimwili kama mtu aliyemeza kidonge cha kuongeza nguvu za kiume cha Viagra. Tunda hili limeonesha kulainisha vizuri mishipa ya damu na kufanya mzunguruko wa damu mwilini kuwa mwepesi bila athari yoyote mbaya. Tikitimaji lina kirutubisho aina ya ‘arginine’, ambacho huchochea uzalishaji wa ‘nitric oxide’ kwenye mishipa ya damu na hivyo kuongeza nguvu za kiume kama ifanyavyo dawa ya Viagra. HUIMARISHA MISULI Vyakula vyenye kiwango kingi cha madini aina ya ‘Potassium’ kama vile Tikitimaji, huimarisha misuli ya mwili na huwafaa sana wanamichezo. Ulaji wa kipande kimoja cha Tikitimaji baada ya kufanya mazoezi makali, huondo...

SULUHISHO LA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME HILI HAPA

Image
(100% Natural  alternative to harsh prescribed medicines) Most men will find it difficult to admit to having a low libido or a lack of confidence in the bedroom. As men we are looked upon to be able to perform and fulfil a womans sexual needs as well as our own. It can be embarrassing if there's a lapse and you can't live upto that expectation every time. It's when problems arise in the functionality of a males sexual arousal or stimulation that leads to pressure and anxiety. Can you relate to ANY of these statements.. I find it difficult to get stimulated and sexually aroused with my partner.. I have health concers with prescribed medicines like Viagra.. I lack the confidence to get aroused or I might have a low libido.. I want to please my partner sexualy but find it difficult to get an erection.. I simply want to enjoy sex and have more fun in the bedroom.. If any of these statements sound familliar, then you will be happy to learn how you can ea...