NYUMBANI BUSINESS PLAN

"Tunapoelekea kuanza project yetu ya NYUMBANI BUSINESS PLAN  lazima utambue kuwa mitandao ya kijamii kama facebook, instagram, twitter, tango, telegram, imo, whatsapp, badoo, viber  n.k imekuwa ikichukuliwa kama sehemu ya kupotezea muda na kufanyia mambo ya kipuuzi. Ila unafahamu kupitia mitandao hiyo unaweza kutengeneza pesa mpaka ukashangaa?

Jiandae kujifunza mbinu za kukuza biashara yako kupitia mitandao ya kijamii.  Ungana nami katika project hii nikufunze zaidi.

By, 
Frank A.  Ndyanabo.

Comments

Popular posts from this blog

FAIDA ZA MMEA WA GINSENG

FAIDA KUMI ZA MAPERA MWILINI.

ZIFAHAMU FAIDA ZA NANASI KAMA DAWA MWILINI