NI ZAMU YAKO MKAZI WA MWANZA 09/07/2016.

Swali la kujiuliza ni je, unandoto na unatamani itimie, ila hujui jinsi ya kuitimiza?

Basi ungana nami tarehe 09/07/2016 ndani ya GOLD CREST HOTEL - Mandela hall,  kuanzia saa sita mchana mpaka saa kumi na moja jioni.

Nitakuwepo kukufundisha mbinu mbalimbali za kibiashara na kukutengenezea misingi ya kutimiza ndoto yako. 

1. Nitakufundisha mbinu za kuweza kutoka kuitegemea ajira tu na kuanza kujiajiri.  Pia

2. Nitakuonyesha mbinu mbalimbali za kuanzisha biashara.

Pia nitakuwa na wenzangu ambao watakusaidia  kukupatia maarifa mbali mbali yatakayo fungua akili yako na kuwa mpya na kisha kuanza kutimiza ndoto yako.

Kwaajili ya kukuwekea nafasi, basi tuma jina lako mapema kwenda namba +255 785 494 456. Maana watu watakuwa wengi Ivyo Tuma jina mapema ili tukuwekee nafasi.

Unaruhusiwa kumualika ndugu, jamaa na rafiki yako ili nao waje wapate elimu hii BURE.

KARIBU SANA.

Comments

  1. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

FAIDA ZA MMEA WA GINSENG

FAIDA KUMI ZA MAPERA MWILINI.

ZIFAHAMU FAIDA KUMI NA NANE ( 18 ) ZA MTI WA MPAPAI