Posts

NDOTO ZA MAFANIKIO KATIKA MAISHA.

Image
NDOTO ZA MAFANIKIO KATIKA MAISHA. Habari  yako ndugu msomaji wa makala zangu, Nisiku nyingine tena tunakutana katika jukwaa ili la ujasiliamali ili tuweze kupeana elimu tena. Leo nitapenda tuweze kutazama mbinu na taratibu za kuweza kufikia mafanikio yetu. Siku zote katika maisha lazima uwe na ndoto kama wewe ni mwana maendeleo halisi, Natumai ndugu yangu una ndoto ulizonazo,na unatamani siku moja uzifanikishe. sasa nataka nikwambie kitu ambacho kitakusaidia ili uweze kuzifanikisha ndoto zako. Waswahili husema mali bila kalamu huisha bila habari,usemi huu nimekuwa nikiutumia katika maisha yangu ya kila siku.  Mimi nautumiaje? Jinsi ninavyo utumia usemi huu ni tofauti na jinsi maana ya usemi wenyewe. mimi huutumia usemi huu kuandika kile ambacho ninaota kukifikia. ndugu yangu ukitaka kufikia ndoto zako nilazima ufuate aya: Chukua kalamu na Karatasi/Diary yako kisha anza kuandika,andika aya,  Andika tarehe ya leo,   Andika malendo yako yote ...
Image
NJIA ZA KUKUTOA KATIKA KIFUNGO CHA UMASKINI. Habari za leo ndugu msomaji wangu. Nisiku nyingine tena tunakutana apa kwa lengo la kuelimishana na kuabalishana ili tuweze kuakikisha tunamtokomeza adui yetu mkubwa UMASKINI. Katika dunia ya leo tumekuwa tukishindwa kufikia malengo yetu kutokana na sababu mbali mbali zinazo tukabili katika maisha yetu ya kila siku. Sababu ni nyingi ila kwa leo sitazizungumzia bali ninapenda kwa nafasi ya pekee niweze kuzungumzia njia ambazo ndio muongozo katika maisha yetu ili tuweze kukabiliana na changamoto zinazo tukumba kilahisi. Ukiwa kama kijana unaye taka kuleta mabadiliko katika maisha yako inatakiwa mambo yafuatayo uyazingatie sana: 1. AMINI UNAWEZA. Kati ya mambo makubwa yanayotukwamisha katika kufikia ndoto zetu ni kuhisi kuwa hatuwezi kufanya jambo fulani. Ondoa katika fikra izo maana pindi unapo hofu kuwa huwezi kumbuka unateketeza ndoto zako. Jiamini kuwa unaweza,hakuna mtu anaye weza kuja kubadili maisha yako isipokuwa wewe mwenyewe. 2. ...
Image
MAMBO 17 AMBAYO TAJIRI NA MASKINI HUTOFAUTIANA KATIKA KUFIKILIA KWAO. Habari za leo,natumai umzima kabisa na umejaa rehema za Mwenyezi Mungu. Karibu tena katika makala yangu ya leo ninapo kwenda kukupa mtazamo kati ya TAJIRI na MASKINI,zifuatazo ni baadhi ya tofauti zilizopo kati ya makundi aya mawili. 1.TAJIRI huamini kuwa maisha yake ameyatengeneza mwenyewe,wakati MASKINI yeye huamini kuwa maisha hujitokeza tu. 2. TAJIRI hutumia pesa ili kushinda,wakati MASKINI hutumia pesa ili kushindwa. 3. TAJIRI hujituma ili kuwa tajiri,wakati MASKINI yeye hutamani kuwa tajiri bila kutenda 4. TAJIRI hufikiria mambo makubwa,wakati MASKINI huwaza mambo madogo. 5. TAJIRI hutizama fursa zilizoko mbele yake,wakati MASKINI yeye utizama vikwazo vilivyoko mbele yake. 6. TAJIRI huwausudu matajiri wengine na watu waliofanikiwa,ila MASKINI huwachukia matajiri na watu maarufu. 7. TAJIRI hujihusisha na  watu wanye mafanikio,wakati MASKINI yeye hujiusisha na maskini wenzake. 8. TAJIRI hutumia pes...

MKAKATI WA MAFANIKIO MWAKA HUU

Image
Kwanza napenda nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kuweza kutufikisha siku hii ya leo,pili nawashukuru wazazi wangu kwa kuweza kunileta duniani isitoshe wameweza kunilea kwakipindi chote sikuwa mzigo kwao bali walivumilia mapungufu yangu nakuweza kuninyoosha katika njia ilio njema mwisho nawashukuru wadogozangu kwa kuonyesha ushilikiano wa hali na mali katika maisha yetu ya kila siku. Kwa kuanza napenda kukukaribisha ndugu yangu msomaji katika makala yangu hii ya ujasiliamali, juu ya mada MKAKATI WA MAFANIKIO MWAKA HUU. Kwanza tujiulize ujasiliamali ni nini? ujasiliamali ni hali ya mtu kujitoa kwa hali na mali kutumia rasilimali zilizopo ili kuweza kujitengenezea kipato cha ziada.  Kabla yakuendelea Ebu tujiulize maswali yafuatayo: (i) wewe ulie ajiliwa mshahara unaopata katika ajila yako unakutosha? (ii) je unamudu maitaji yako ya kila siku? (iii)mshahara wako unatosha kulipa madeni ulio nayo? (iv) Kama mshahara wako kwa sasa haukutoshi je ukistaafu...

UTAJIKWAMUAJE KATIKA UMASKINI?

Image
Hatua za maendeleo katika maisha zinaitaji kujipanga. Ebujiulize toka mwaka umeanza umefanya mambo gani, na nimambo mangapi yamefanikiwa na nimangapi hayakufanikiwa? Kati ya yale ulioshindwa kuyafanikisha je umetambua sababu zilizosababisha ushindwe kufanikiwa? Je yale ulioyafanikisha umeweka mikakati gani ili yaweze kuendelea kudumu? Ebu jiulize kuwa katika shughuli zako za kila siku ni muda gani unautumia kufanya mambo ya msingi na ni muda gani unaupoteza kwa kufanya mambo yasiofaa? NA je muda wako umeugawaje,nimuda kiasi gani unautumia kufanya maendeleo ya kwako binafsi na ni muda gani unautumia kuwanufaisha wengine? Ndugu yangu kupitia FAN Company LTD Utaweza kuonyeshwa njia sahii itakayo kuingizia kipato kizuri pasipo kuwa na mtaji mkubwa maana najua vijana walio wengi ukimwambia kuhusu kujiajili anakwambia sina mtaji. Njoo FAN Compani LTD Tukupe suluhisho ambalo utajitengenezea kipato utakacho endelea kukipata mpaka mwisho wa maisha yako na bado kizazi chako kitaendel...
Image
KARIBUNI SANA KATIKA HUDUMA ZETU KWA WOTE WANAOTAKA KUONDOKANA NA MAGONJWA TABIA YAFUATAYO 1. KUSAHAU AU KUPOTEZA KUMBU KUMBU 2. KUISHIWA NGUVU ZA KIUME 3.KUSHINDWA KUPATA MTOTO 4. MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA KWA WANA WAKE 5. KISUKARI 6. PRESSURE 7. MAGONJWA SUGU YA NGOZI LIKE PAGE YANGU UFURAHIE HUDUMA HIZI
Image
Food supplements are certified hearth products intended to supplement the diet.These includes vitamins,mineral, amino acids and natural substances from plants or animal origin all of which are aimed at enhancing nutritional or physiological functions.we need food supplement because we want to live long enough and be free from diseases.The solution of all diseases is from AN company LTD.